Uislamu nchini Komori

Uislamu kwa nchi

Kulingana na makadirio yaliyofanywa mwaka wa 2006 na Wamarekani - inasemekana asilimia 98 ya wakazi wa Komori ni Waislamu. Waislamu wengi wa Komori ni Sunni wanaofuata mafunzo ya imam Shafi. Waumini walio wengi ni Waarabu-Waswahili au Waajemi, lakini pia kuna watu wenye asili ya Kihindi.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne